• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI NA SHERIA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAO.

Posted on: July 17th, 2025

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifaya Uchaguzi (INEC), Mhe. Magdalena Rwebangira, amehitimisha rasmi mafunzo yasiku tatu kwa waratibu na wasimamizi wa uchaguzi wa ngazi ya jimbo, akiwaasakuyatumia maaarifa waliyoyapata kwa weledi mkubwa ili kuhakikisha uchaguzi waRais, Wabunge na Madiwani unafanyika kwa ufanisi mkubwa na kwa kuzingatiasheria za nchi.

 

Akizungumzawakati wa kufunga mafunzo hayo, Mhe. Rwebangira aliwataka wasimamizikuhakikisha wanawafundisha watumishi wa tume walio chini yao kwa umakini na uadilifu,huku wakizingatia sheria, kanuni na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

Aidha,aliwakumbusha umuhimu wa kuwasiliana na wananchi kwa uwazi kupitia vyombo vyahabari, lakini akasisitiza kuwa taarifa zozote zinazotolewa lazima wajirishishekwanza na zihakikiwe kabla ya kutangazwa ili kuepusha taharuki kwa wananchi.“Usikurupuke kutoa taarifa, ni vyema ukashirikiana na wenzako kabla yakuzungumza hadharani,” alisisitiza.

 

Mhe.Rwebangira alikumbusha pia kuwa mara baada ya kula kiapo, kila mmoja wao nimtumishi wa Tume na anapaswa kutunza siri za kazi kwa mujibu wa Kanuni ya 8 yaKanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2025. Alionya kuwakuvujisha taarifa za ndani ni kuvunja sheria na kiapo cha uaminifu.

 

Katikamafunzo hayo, washiriki walifundishwa kuhusu mabadiliko ya sheria za uchaguzi,taratibu za upigaji kura, usimamizi wa maombi ya kupiga kura nje ya vituo,pamoja na namna ya kutoa taarifa za mapungufu au kasoro za vifaa vya uchaguzipindi vinapopokelewa. Mafunzo yalijumuisha pia maandalizi ya kutoa elimu kwawasimamizi wa kata na watendaji wa vituo vya kupigia kura.

 

Kupitiamafunzo hayo, Tume inalenga kuhakikisha kuwa uchaguzi wa mwaka 2025 unafanyikakwa njia ya uwazi, ufanisi na kuzingatia misingi ya demokrasia, kwa manufaa yataifa na wananchi wote.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI NA SHERIA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAO.

    July 17, 2025
  • TANZANIA YAONGOZA AFRIKA MASHARIKI KWA KUANZISHA MFUMO WA KIDIGITALI KUWATAMBUA WATU WENYE ULEMAVU.

    July 16, 2025
  • “WASIMAMIZI WA UCHAGUZI MSIMAME KWENYE MISINGI YA SHERIA NA HAKI.”: MHE. RWEBANGIRA

    July 15, 2025
  • DKT. RUTANISIBWA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA SIKU MBILI KWA MAKATIBU WA AFYA KUTOKA HALMASHAURI ZA MKOA WA TABORA:ASISITIZA UWAJIBIKAJI KATIKA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KWA WANANCHI

    July 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa