• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC BATILDA ASHIRIKI KIKAO CHA TATHMINI YA LISHE

Posted on: February 29th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian ameshiriki kwenye kikao cha tathmini ya nusu mwaka cha mkataba wa lishe ngazi ya mkoa kilichofanyika katika ukumbi mdogo uliopo ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Tabora leo Februari 29, 2024.

Akitoa hotuba yake, Mhe. Mkuu wa Mkoa amewata wakuu wa wilaya, wakurugenzi na wataalamu wote ngazi ya halmashauri kuhakikisha suala la lishe linatiliwa mkazo ili kufikia malengo ya serikali katika kuhimarisha lishe kwa wananchi sambamba na utoaji wa takwimu sahihi za kaya zisizokuwa na choo.

 

RC Batilda amewapongeza viongozi na watalaamu wote kwa kupambana kikamilifu na ugonjwa wa kipindupindu na kufanikiwa kumaliza ugonjwa huo ambao ulikuwa tishia kwa ustawi wa jamii na kusisitiza suala la usafi kuwa ni ajenda ya kudumu kwa halmashauri zote.

 

Aidha, Mhe. Batilda amezitaka halmashauri zote kuendelea kutenga fedha kwa ajili ya utoaji wa huduma ya lishe ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma hiyo kikamilifu. Na kutoa wito kwa viongozi hao kuwa wabunifu katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.

 

Naye, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Honoratha Rutatinisibwa amesema kuwa malengo ya kikao hiko ni kufanya tathmini wa maazimio, maelekezo na maagizo ya kikao kilichopita ambacho kilichofanyika Julai 28, 2023 ili kuangalia maendeleo ya lishe mkoa wa Tabora kwa kuangalia mafaniko na changamoto za ukalishwaji wa lishe.

 

Kwa upande wa wadau wa afya, Mkurugenzi wa mradi wa Bright, Nutritional International Ndugu. Raphael Katebalila amesema kuwa, taasisi yake kupitia miradi ya lishe ni moja ya mkakati wa taasisi hiyo kuhakikisha wanashirikiana na serikali katika kuhimarisha lishe kwa wakazi wa tabora.

 

Ikumbukwe kuwa, vikao vya tathmini ya lishe hufanyika mara mbili (2) kwa mwaka kwa ngazi ya mkoa na hufanyika mara nne (4) kwa ngazi ya halmashauri na malengo makuu ya vikao hivyo ni kuhamasisha suala la lishe kuanzia ngazi ya taifa, kata hadi vijiji.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa