• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC TABORA AAGIZA WAVAMIZI WA MAENEO YA HIFADHI WILAYANI KALIUA KUONDOKA HARAKA

Posted on: July 10th, 2020

WANANCHI wilayani Kaliua ambao wamevamia maeneo ya hifadhi za mistu wametakiwa kuondoka haraka na kuacha kuendesha shughuli zozote ndani ya maeneo hayo.

Kauli hiyo imetolewa  na Mkuu Mkoa wa Tabora Dkt. Philemon Sengati wakati wa ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Kaliua.

Alisema ni kinyume cha Sheria kwa watu kuishi na kufanya shughuli zozote za kiuchumi katika maeneo yote ya hifadhi na watakaokutwa humo watachukuliwa hatua kali.

“Ninajua wapo watu kwenye hifadhi …watu hao hawapendi Amani …tutakaowakuta katika maeneo hayo tutakabiliana nao ipaswayo…maelekezo ni kwamba maeneo ya hifadhi harusiwi mtu au kikundi chochote kufanya shughuli za uchumi” alisisitiza

Dkt. Sengati aliwataka wau kufanyakazi katika maeneo rasmi na sio yale ambayo yamezuiliwa kisheria kwa ajili ya manufaa ya Taifa zima.

Mkuu huyo wa Mkoa alitoa wito kwa wananchi wenye mapenzi mema na ustawi nchi kuwafichua watu wote ambao wamekuwa wakiingia katika maeneo ya hifadhi na kufanya uharibifu ili hatua kali dhidi yao ziweza kuchukuliwa.

Alisema Serikali haiwezi kuvumilia kuona watu wanaingia katika maeneo hayo na kuhatarisha usalama wa wananchi wengine na kuhatarisha vyanzo vya maji na viumbe hai wengine.

Dkt. Sengati aliiagiza Kamati ya Usalama Wilaya kushirikiana na uongozi wa Halmashauri na jamii zinazozunguka Hifadhi hizo ili kuwaondoa wavamizi na kuzuia wengine wasiweze kuingia kwa ajili ya kuendesha shughuli ambazo haziruhusiwi.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa wa Tabora amesema kuwa endapo itabainika kuwa kuna baadhi ya watumishi na viongozi wanashiriki katika kuchochea tabia hiyo ya wananchi kuvamia maeneo ya hifadhi watachukuliwa hatua kali.

Alisema kuwa wapo watumishi na viongozi wa aina hiyo ni vema wakaacha mara moja kabla hawachukuliwa hatua ikiwemo kufikishwa katika vyombo vya Sheria.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kaliua Simon Nyahinga alisema wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la vikundi vya watu kuingia katika maeneo ya Hifadhi za Mistu na kuendesha shughuli mbalimbali za kilimo na ufugaji.

Aliongeza kuwa watu hao wamekuwa wakati mwingine wakiwashambulia ,kuwadhuru  ,  na kuwaua watendaji wanaojaribu kutaka kuwaondoa.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa