• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC TABORA ATOA ONYO KWA WAVAMIZI WALIOBAKI KATIKA HIFADHI YA MSITU WA ISAWIMA WILAYANI KALIUA

Posted on: March 9th, 2021

VIKUNDI vya watu waliovamia na kubaki katika eneo la Hifadhi ya Wanyamapori ya Isawima lilipo wilayani Kaliua ambao wanaendelea kuendesha shughuli za kilimo na ufugaji wametakiwa kuondoka kwa hiari kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi.

Kauli hiyo imetolewa  na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Philemon Sengati wakati akihitimisha zoezi la utangulizi la kijeshi lililo kuwa likijulikana onesho uwezo lililofanyika ndani ya Msitu wa Isawima kwa siku saba.

Alisema Serikali imeamua kuchukua hatua baada ya kuona kuwa uvamizi katika eneo hilo unaendelea na kutishia uendelevu wa ziwa Tanganyika na kupoteza maisha ya baadhi ya wananchi na watendaji.

Mkuu huyo wa Mkoa alisema Serikali haiwezi kuendelea kuwacha wavamizi waendelee la uharibifu ambao utaishia ikojia ya eneo hilo ambalo ni muhimu kwa ajili ya upelekaji wa maji ziwa Tanganyika na mapito ya wanyama kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Mto Ugalla, Mbuga ya Kigosi Moyosi na Mpanda line.

Alisema Serikali ya Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Kaliua wametumia Diplomasia na kutoa elimu ya kutosha kilichobaki watu wote waliomo katika msitu kuondoa wao wenyewe kwa hiari yao.

Dkt. Sengati aliwataka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kuhakikisha baada bya kazi iliyofanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania katika eneo wavamizi wasiingie tena na kuharibu maliasi ikiwemo ukataji magogo na uwindaji haramu wa wanyamapori unaofanyika katika eneo hilo.

Aliwataka kufanyakazi kwa kuzingatia maadili na sharia katika kuhakikisha wavamizi wote na vikundi vyote vya uhalifu vilivyomo ndani ya msitu huo vinaondoka ili uharibifu usiendelee.

Alisema lengo la Serikali ni kutaka msitu huo hatimaye uje upande kwa ajili ya kuongeza mapato ya Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua na Taifa kwa ujumla.

Naye Mkuu wa Kamandi ya Brigedi ya 202 kundi la vikosi, Brigedia Jenerali Julius Gambosi alisema zoezi hilo ni utangulizi wa zoezi kubwa litakalofanyika katika Hifadhi hiyo limekuwa na mafanikio makubwa ambalo limewaongezea uwezo  na ujuzi wapiganaji.

Alisema kuwa lengo la zoezi hilo ilikuwa ni maandalizi ya zoezi kuwa litakalofanyika katika Hifadhi hiyo hivi karibuni ikiwa ni kuwaweka Makanda kuwa tayari wakati wowote kuliinda Tanzania dhidi ya uchokozi wowote.

Brigedia Jenerali Gambosi alisema zoezi hilo lilinakuja litakuwa la kiwango cha juu.

Aidha alisema kuwa eneo hilo ni muhimu kuhakiisha hakuna wavamizi ndani na kuiomba Serikali kuendelea kutoa elimu kwa watu waliomo ndani yake ili waweze kuondoka kwa hiari kwa ajili ya kulitunza na kuendeleza hifadhi kwa matumizi endelevu ambayo yatakuwa na manufaa kwa wananchi wengi.

Alisema kuendelea kuwaacha wavamizi ndani ya Hifadhi hiyo kunaweza kusababisha hata vikundi vya kiharifu kujificha ndani yake.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa