• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC TABORA AWATAKA WAHITIMU WA JKT OPERESHENI SAMIA SULUHU KUENDELEZA UZALENDO WATAKAPOKUWA VYUONI

Posted on: September 15th, 2021

WAHITIMU  wa Mafunzo ya Awali ya Kijeshi wa Jeshi la Kujenga Taifa Msange JKT kwa mujibu wa Sheria chini ya operesheni Samia Suluhu wametakiwa kuwa mfano wa uzalendo na kuigwa watakapojiunga na vyuo mbalimbali hapa nchini.

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Buriani wakati akifunga mafunzo ya awali ya Kijeshi ya miezi mitatu kwa vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa Msange JKT kwa mujibu wa Sheria chini ya operesheni Samia Suluhu.

Alisema wawapo Vyuoni wanatakiwa kuwa mabalozi kwa kuonyesha na kuendeleza uzalendo waliofundishwa Msange JKT ili wawe tofauti na Vijana ambao hawakubahatika kupata mafunzo.

Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Operesheni kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa Kanali Aisha Matanza alisema wahitimu hao wanatakiwa kuwa macho na masikio ya Watanzania dhidi ya maadui wa ndani na nje wa Tanzania.

Alisema wantakiwa kutumia mafunzo hayo kwa ajili ya maslahi ya Nchi na Watanzania na kuwa tayari kuitumikia nchi katika maeneo mbalimbali kwa uzalendo.

Kamanda wa Kikosi cha Msange JKT Kanali Sadick Mihayo alisema wahitimu hao walianza mafunzo Mwezi Juni mwaka huu wakiwa 1,533 lakini walifanikiwa kuhitimu ni 1,503.

Alisema katika cha mafunzo wahitimu hao wamefundishwa kozi za awali za kijeshi, shughuli za ujenzi , ujasiriamali kama vile utengezaji wa sabuni , ufugaji wa nyuki , michezo , maandalizi ya mashamba na shughuli za utamaduni.

Kanali Mihayo alisema mafunzo hayo yamewajengea uwezo wa kufanya shughuli mbalimbali za kujitegemea.

Akisoma risala kwa niaba ya wenzake Caroline Tibamanya aliiomba Serikali kuongeza muda wa mafunzo kwa Mujibu wa Sheria ili wahitimu wengi waweze kunufaika na elimu inayotolewa na JKT.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa