• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

TABORA YAKUSANYA BILIONI 13.5 TOKA MAPATO YA NDANI TOKA JULAI HADI MACHI

Posted on: May 7th, 2020

TABORA YAKUSANYA BILIONI 13.5 TOKA MAPATO YA NDANI TOKA JULAI HADI MACHI

JUMLA ya shilingi bilioni 13.5 zimekusanywa na Halmashauri za Mkoa wa Tabora katika kipindi cha Julai hadi Machi mwaka huu.

Fedha hizo zimetokana na makusanyo yanayotokana na mapato ya ndani ambayo ni sawa na asilimia 51.9 ya lengo la kukusanya bilioni 24.1.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani cha Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua.

Alisema kiasi hicho cha makusanyo hakiridhishi kwa kuwa bado kuna Halmashauri ambayo hazijafika hata asilimia 50 na bado miezi mitatu mwaka wa fedha umalizike.

Makungu alisema Halmashauri ya Wilaya ya igunga ndio inaoongoza kwa kufiksha asilimia 70 ambapo imekusanya shilingi bilioni 1.9 kati ya bilioni 2.7 na Uyui imekusanya bilioni 1.6 ambayo ni asilimai 67 kati ya bilioni 2.5.

Alisema kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua imekuusanya bilioni 2.4 sawa na asilimia 64 ya shilingi bilioni 3.6, Sikonge imekusanya shilingi bilioni 1.7 sawa na asilimia 61 ya shilingi bilioni 2.8 na Nzega Mji imekusanya bilioni 1.2 sawa na asilimia 61 ya bilioni 2.

Katibu Tawala huyo wa Mkoa alisema Manispaa ya Tabora imekusanya shilingi bilioni 2.3 ikiwa ni asilimia 50 ya makisio ya shilingi bilioni 4.6, Urambo imekusanya bilioni 1.3 sawa na asilimia 44 ya bilioni 3 na Halmashauri ya Wilya ya Nzega imekusanya milioni 907.8 sawa na asilimia 35 ya bilioni 2.6.

Aidha ameagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa watumishi wa Halmashauri zote waliopewa mashine za kukusanyia mapato (POS) ambao wamekusanya mapato na kushindwa kuyawasilisha  Benki.

Makungu alisema kuanzia sasa ni marufuku kutumia fedha zinazokusanywa na Halmashauri kabla hazijapelekwa benki kwa kuwa vitendo hivyo ndio vinavyosababisha hoja za CAG.

Alisema ni lazima hatua za makusudi zichukuliwe kuondoa dosari zinazozalisha hoja ikiwemo kujibu hoja na kuepusha kuwa sehemu ya kuzalisha mpya.

 

Mwisho

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa