Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

ZAIDI BILIONI 1.8 ZAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA NA ELIMU KATIKA WILAYA ZA TABORA NA NZEGA.

Posted on: February 17th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paulo Matiko Chacha, ameonesha kuridhishwa na maendeleo ya miradi ya afya na elimu katika wilaya za Tabora na Nzega Mji, ambapo jumla ya shilingi bilioni 1.8 zimetumika kuboresha huduma katika sekta hizo muhimu.Hayo yamebainika leo katika  ziara yake ya siku moja ya kukagua miradi ya maendeleo.

Miradi inayotekelezwa ni pamoja na ujenzi wa vituo vya afya na shule, ambapo ujenzi wa kituo cha afya Tumbi unaogharimu shilingi milioni 610.9, umefikia asilimia 89 ya utekelezaji ukihusisha ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje, maabara, jengo la mama na mtoto, pamoja na vyoo.Aidha,ujenzi wa  kituo cha afya Itetemia unaojengwa kwa shilingi milioni 275.3, ambapo jengo la wagonjwa wa nje, maabara, na mifumo ya maji taka vimejumuishwa, na mradi huu umefikia asilimia 90.

Katika sekta ya elimu, mradi wa BOOST unaotekelezwa katika shule ya msingi Town kwa gharama ya shilingi milioni 318.8 ukihusisha ujenzi wa madarasa mawili ya kawaida, madarasa ya awali, matundu 20 ya vyoo, pamoja na ukarabati wa madarasa 17 na ofisi 5. Mradi huu umefikia asilimia 86. Vilevile, shule mpya ya sekondari Humbi katika halmashauri ya mji Nzega unaotekelezwa  kwa shilingi milioni 603.8, ikiwa ni sehemu ya mradi wa SEQUIP. Ujenzi huu unajumuisha jengo la Tehama, maabara ya Fizikia, Kemia na Baiolojia, jengo la utawala, na madarasa manne na mradi umekamilika.

Akiongea na wananchi waliojitokeza katika ziara hiyo,Mhe. Chacha ametoa wito wkwa wananchi hao kuwahudumia kwa ukarimu wahudumu wa afya, ili wafaidi mazingira bora ya kazi na kutoa huduma bora kwa wananchi. Aidha, alisisitiza kuwa mamlaka za serikali za mitaa zihakikishe vibarua wanaolipwa kwa kazi za ujenzi wanapata malipo yao kwa wakati.

Miradi hii, itakapokamilika, itaboresha huduma za afya na elimu katika maeneo ya pembezoni, ikiwemo huduma za uzazi na wagonjwa wa nje, na kutoa fursa bora za kujifunza kwa wanafunzi katika shule zilizozungukwa na changamoto za miundombinu. Hivyo, miradi hii ni hatua muhimu katika kuboresha ustawi wa jamii ya mkoa wa Tabora.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WIZARA YA AFYA NA OFISI YA MKUU WA MKOA WA TABORA YAENDESHA KIKAO ELEKEZI CHA MREJESHO WA MAFUNZO NA MAPITIO YA AFYA YA MAMA NA MTOTO.

    May 14, 2025
  • JESHI LA POLISI TABORA LAPATA MAGARI 6 MAPYA KWA AJILI YA KUIMARISHA USALAMA WA RAIA

    May 12, 2025
  • BODI YA WADHAMINI MFUKO WA MISITU TANZANIA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO TABORA.

    May 07, 2025
  • NAIBU WAZIRI MKUU AONGOZA HAFLA YA UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TABORA.

    May 03, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa