Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

ZIARA YA KAMATI YA BUNGE YA AFYA NA MASUALA YA UKIMWI WILAYANI UYUI

Posted on: November 14th, 2023

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI, Kamati ya Bunge ya Kupambana na Masuala ya Malaria na Wataalamu kutoka OR- TAMISEMI na Wizara ya Afya wakiwasili Wilayani Uyui na Kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Uyui Mhe. Zakalia Mwansasu, kwa ajili ya ziara ya siku moja ya Kutembelea mradi wa Hospitali ya Wilaya ya Uyui Novemba 14, 2023.

Mhe. Zakalia Mwansasu akiwakaribisha na kutoka taarifa ya Wilaya kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI na Kamati ya Bunge ya Kupambana na Masuala ya Malaria na Wataalamu kutoka OR- TAMISEMI waliofika Ofisi Kwake kwa ajili ya ziara ya siku moja Wilayani humo ambapo watatembelea mradi wa Hospitali ya Wilaya .Novemba 14, 2023.

Kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Uyui Mhe. Zakalia Mwansasu, Dkt Joseph Welema akisoma taarifa ya Wilaya kuhusiana na utolewaji wa huduma ya Mama Na Mtoto pamoja na Huduma za Kudhibiti Malaria katika Halmashauri ya Wilaya ya Uyui.

Baadhi ya Wabunge wakichangia taarifa ya Wilaya kuhusiana na utolewaji wa huduma ya Mama na Mtoto pamoja na Huduma za Kudhibiti Malaria katika Halmashauri ya Wilaya ya Uyui iliyowasilishwa na Dkt. Joseph Welema kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Uyui Mhe. Zakalia Mwansasu.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI, Kamati ya Bunge ya Kupambana na Masuala ya Malaria na Wataalamu kutoka OR- TAMISEMI na Wizara ya Afya wakiwasili katika hospitali ya Wilaya ya Uyui ambapo walipata taarifa na kufanya ukaguzi wa mradi huo.

Tumaini Fumbuka Mganga Mfawidhi Hospitali ya Wilaya ya Uyui akisoma taarifa ya Hospitali ya Wilaya ya Uyui kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI, Kamati ya Bunge ya Kupambana na Masuala ya Malaria na Wataalamu kutoka OR- TAMISEMI na Wizara ya Afya mara baada ya kuwasili hospitalini hapo.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI, Kamati ya Bunge ya Kupambana na Masuala ya Malaria na Wataalamu kutoka OR- TAMISEMI na Wizara ya Afya wakitembelea, kukagua na kujionea  kazi na huduma mbalimbali zinazotolewa katika Hospitali ya Wilaya ya Uyui.

Ambapo Wajumbe wa kama hizo wametoa maoni, mapendekezo na ushauri kwa watalaamu na wasimamizi wa hospitali ya Wilaya ya Uyui ili kuhakikisha huduma bora za afya hususani katika suala zima la huduma ya Mama na Mtoto na Malaria zinatolewa kwa wananchi wa Uyui na Tabora kwa ujumla.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI, Kamati ya Bunge ya Kupambana na Masuala ya Malaria na Wataalamu kutoka OR- TAMISEMI na Wizara ya Afya wakifanya majumuhisho ya ziara yao ya kikazi Wilayani Uyui ambapo walitembelea Hospitali ya Wilaya na kutoa mapendekezo kama Matumizi ya mifumo ya kisasa, Uandaaji bora wa taarifa za Serikali, Watendaji kuweka mipango mipya ya kukabiliana na Malaria na pia kuwa na ubunifu katika utendaji wa kazi.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI, Kamati ya Bunge ya Kupambana na Masuala ya Malaria na Wataalamu kutoka OR- TAMISEMI na Wizara ya Afya walifika na kuanza ziara yao Novemba, 13, 2023 ambapo walitembelea Hospitali ya Rufaa ya Kitete na kufikia tamati leo Novemba 14, 2023.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • "SIKU YA WAUGUZI DUNIANI, RAS TABORA ASISITIZA MAADILI, USTAWI NA UWAJIBIKAJI."

    May 30, 2025
  • RAS TABORA AKUTANA NA ASKOFU MSAIDIZI WA JIMBO KUU LA TABORA,ASKOFU BUDUDU;ATOA PONGEZI NA SALAMU ZA SERIKALI

    May 29, 2025
  • DKT. MBOYA AFUNGUA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA TASAF AWAMU YA TATU, ATOA PONGEZI KWA UTEKELEZAJI MZURI

    May 29, 2025
  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa