• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

TABORA KWENDA KUNUFAIKA NA ZOEZI LA UPIMAJI NA UTAFITI WA AFYA YA UDONGO.

Posted on: February 6th, 2026

TABORA KWENDA KUNUFAIKA NA ZOEZI LA UPIMAJI NA UTAFITI WA AFYA YA UDONGO


Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dkt. John Mboya, amewaaga wataalam wa udongo kutoka Wizara ya Kilimo waliokuwa mkoani humo kwa ajili ya zoezi la kitaifa la upimaji wa afya ya udongo, baada ya kukamilisha kazi ya awali ya uchukuaji sampuli na tathmini za kisayansi katika maeneo mbalimbali ya mkoa.


Wakitoa taarifa ya utekelezaji wa kazi hiyo, wataalam hao wamemueleza Dkt. Mboya kuwa zoezi la upimaji limefanyika kwa kufuata taratibu za kitaalamu na limehusisha maeneo ya ngazi ya kata na vijiji. Lengo la utafiti huo ni kupata takwimu sahihi zitakazowezesha kubaini hali halisi ya rutuba ya udongo na changamoto zinazokabili kilimo katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Tabora.


Wamefafanua kuwa baada ya uchambuzi wa maabara kukamilika, kila kijiji na eneo litapata taarifa kamili kuhusu aina ya udongo uliopo na namna bora ya kuutumia kwa shughuli za kilimo. Matokeo hayo yatawasaidia wakulima kupanga mazao yanayofaa, matumizi sahihi ya mbolea na mbinu bora za kuongeza uzalishaji, hatua itakayochochea kilimo chenye tija na endelevu.


Wataalam kutoka Wizara ya Kilimo waliofika kumuaga Katibu Tawala wa Mkoa ni pamoja na Bi. Sauda Mjape, Mratibu wa zoezi la upimaji wa afya ya udongo, akifuatana na Bw. Joseph Mbogoni, Mtaalam wa Udongo. Kwa upande wa uongozi wa mkoa, wageni hao waliongozwa na Ndugu Abrahaman Mndeme, Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Uchumi na Uzalishaji, pamoja na Afisa Kilimo Bw. Mohamed Babu.


Akizungumza wakati wa kuwaaga wataalam hao, Dkt. Mboya aliwashukuru kwa kazi kubwa waliyoifanya na kueleza kuwa Serikali ya Mkoa wa Tabora ina matumaini makubwa na matokeo ya utafiti huo. Amesema utafiti wa afya ya udongo utaleta manufaa mapana kwa wananchi kwa kusaidia kupanga kilimo kinachozingatia ushahidi wa kisayansi na hivyo kuongeza tija kwa mkoa na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TABORA KWENDA KUNUFAIKA NA ZOEZI LA UPIMAJI NA UTAFITI WA AFYA YA UDONGO.

    February 06, 2026
  • VIONGOZI TABORA WAHANI MSIBA WA MFANYABIASHARA MZALENDO MZEE NASSORO HAMDAN SEIF.

    February 06, 2026
  • DKT. MBOYA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA WAKUU WA IDARA ZA RASILIMALI WATU TABORA: ASISITIZA KUJENGA MAHUSIANO YENYE AFYA NA MOTISHA MAHALA PA KAZI.

    February 06, 2026
  • TABORA: WATUMISHI WA OFISI YA MKUU WA MKOA WAKARIBISHA MWAKA 2026, NA KUWAAAGA WASTAAFU

    January 31, 2026
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa