• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

TABORA: WATUMISHI WA OFISI YA MKUU WA MKOA WAKARIBISHA MWAKA 2026, NA KUWAAAGA WASTAAFU

Posted on: January 31st, 2026


Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Mhe. Upendo Wella, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, ameongoza watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora katika sherehe ya kuukaribisha Mwaka Mpya 2026 pamoja na kuwaaga watumishi waliokamilisha utumishi wao wa umma kwa mujibu wa sheria. Sherehe hizo zimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya JM Mjini Tabora.


Akitoa nasaha zake, Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora,Dkt. John Mboya, amemshukuru Mwenyezi Mungu kwa mafanikio ya utekelezaji wa majukumu kwa mwaka uliopita na kuwasisitiza watumishi kuongeza bidii, upendo na mshikamano kazini. Ameeleza kuwa umoja na ushirikiano ni msingi wa kutekeleza kwa ufanisi maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ya kuwahudumia wananchi kwa uadilifu na kuhakikisha wanapata tabasamu.


Kwa upande wake, mgeni rasmi Mhe. Wella, akitoa salamu za Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paulo Chacha, amewahimiza watumishi kufanya kazi kwa bidii na weledi, akisisitiza kuwa dhamana waliyopewa ni kielelezo cha imani ya Rais kwa viongozi na watumishi wa umma.


Katika sherehe hizo, wastaafu wamepongezwa kwa kumaliza salama safari ya utumishi wa umma na kushukuriwa kwa mchango wao kwa Serikali. Wastaafu hao, kwa pamoja, wamewashauri watumishi wanaoendelea kujiandaa mapema kwa maisha ya kustaafu. Watumishi walioagwa ni pamoja na Simon Mality, Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mussa Mussa, Afisa Mifugo, pamoja na Pastory Mashiku aliyehamia Wilaya ya Rorya mkoani Mara. Aidha, sherehe zimeambatana na mapokezi ya watumishi waliohamia ofisi ya Mkuu wa mkoa akiwemo Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Bi. Upendo Joseph Haule na Masunga Maduhu,Katibu Muhtasi.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TABORA KWENDA KUNUFAIKA NA ZOEZI LA UPIMAJI NA UTAFITI WA AFYA YA UDONGO.

    February 06, 2026
  • VIONGOZI TABORA WAHANI MSIBA WA MFANYABIASHARA MZALENDO MZEE NASSORO HAMDAN SEIF.

    February 06, 2026
  • DKT. MBOYA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA WAKUU WA IDARA ZA RASILIMALI WATU TABORA: ASISITIZA KUJENGA MAHUSIANO YENYE AFYA NA MOTISHA MAHALA PA KAZI.

    February 06, 2026
  • TABORA: WATUMISHI WA OFISI YA MKUU WA MKOA WAKARIBISHA MWAKA 2026, NA KUWAAAGA WASTAAFU

    January 31, 2026
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa