Posted on: August 12th, 2021
NA TIGANYA VINCENT
MKOA wa Tabora kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo ya Tumbi unatarajia kuendesha zoezi la upimaji wa ubora wa udongo wake ili kuwawezesha wakulima mazao ...
Posted on: August 12th, 2021
NA TIGANYA VINCENT
WANAWAKE Mkoani Tabora wametakiwa kujihusisha na ufugaji wa kuku ili kujiongezea kipato kwa ajili ya maendeleo yao na familia zao.
Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa wa ...
Posted on: August 12th, 2021
WAKAZI wa Mkoa wa Tabora wamehimizwa kuwekeza katika ufugaji wa kisasa wa nyuki kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa asali
Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Buri...