Posted on: February 7th, 2024
Serikali ya mkoa wa Tabora inatarajia kuwafikia watoto 544,616 wenye umri chini ya miaka mitano katika Kampeni ya chanjo ya Surua Rubela itakayoafanyika nchi nzima kwa siku siku nne kati ya February 1...
Posted on: February 7th, 2024
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Urambo limepitisha Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 kiasi cha Bilioni 30.33, ambapo Mapato ya ndani ni kiasi cha Bilioni 4.2 na Tsh. ...
Posted on: February 5th, 2024
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Urambo Bi Grace Quintine amezindua kampeni ya kufundisha maadili katika shule ya Msingi na sekondari kwa lengo la kutokomeza Mimba mashuleni. Ameeleza kuwa...